 |
Calisah |
Model wa mavazi na video
Calisah amejikuta akiwa kwenye wakati mgum kwa kipindi hiki baada ya video kuvuja akiwa kimahaba na
Wema wakipiga madeda.yeye mwenyewe anasema haelewi nini? kilichoteka.Anasema
Wema ni mtu ambaye walikuwa kimapenzi kwa siri na alikuwa hapendi ndugu zake wajue na hiyo video walirekodi wakiwa na furaha na alikuwa anajua ni ngum kwa video hiyo kuvuja kwa kuwa wao wa wili ndo walikuwa nayo video hiyo,anasema akashanga kuona video ikilink kwenye mtandao whatsaap na alipojaribu kumuuliza
Wema alisema hajui zaidi
Wema naye aliishi kumlaum kwa kusambaza video hiyo.
Calisah anasema kwa ishu iliyotokea imeweza kumletea doa kwenye maisha yake kwa mikataba yake kuvunjika na makampuni alokuwa anafanya nayo kazi alitakiwa kitu kama hicho kisitoke kwake.nakubwa kwake ambalo linamweka kwenye wakati mgum kwa kufiwa na
Bibi yake ambaye alipatwa na mshituko baada ya
Bibi yake kuona video hiyo na kupandisha presha na kupelekea umauti.
 |
Calisah na Wema |
No comments:
Post a Comment