Sunday, November 13, 2016

AIRFORCE ONE NDO NDEGE INAYOTUMIWA NA MARAIS WA MAREKANI

AIRFORCE ONE ni ndege ya taifa la Marekani inayotumiwa na marais wake ndege hii ilikuwa inatumwa na BARACK OBAMA ,ambayo aliwahi kutua nayo Tanzania katika shughuli zake za kikazi na pia ndege hii itatumiwa na rais mteule bwana DONALD TRUMP pindi atakapo apishwa kuwa rais wa taifa hilo.Ndege hii inavyumba ambavyo vitengenezwa kisasa na ofisi ndogo ya Ikilu amabayo rais huweza kukaa na kufanya kazi zake .imefungwa mitambo maalum ambayo ni ngumu kushambuliwa

No comments:

Post a Comment