AIRFORCE ONE ni ndege ya taifa la Marekani inayotumiwa na marais wake ndege hii ilikuwa inatumwa na
BARACK OBAMA ,ambayo aliwahi kutua nayo Tanzania katika shughuli zake za kikazi na pia ndege hii itatumiwa na rais mteule bwana
DONALD TRUMP pindi atakapo apishwa kuwa rais wa taifa hilo.Ndege hii inavyumba ambavyo vitengenezwa kisasa na ofisi ndogo ya Ikilu amabayo rais huweza kukaa na kufanya kazi zake .imefungwa mitambo maalum ambayo ni ngumu kushambuliwa
No comments:
Post a Comment