Sunday, November 13, 2016

DONALD TRUMP AFANYA UTEUZI

Donald Trump
Rais mteule wa Marekani, DONALD TRUMP, amemteua mwenyekiti wa kamati ya taifa ya chama cha Republican, Reince Priebus, kutumika kama mkuu wa wafanyakazi.

Reince Piebus
 REINCE PIEBUS ana uhusiano wa karibu na spika wa baraza la wawakilishi Paul Ryan. Wandishi wa wa habari wanaarifu kwamba uteuzi wa Piebus unaweza kuwaudhi wafuasi wake wa hali ya chini na hii inaashiria kwamba uongozi ujao unalenga kufanya kazi kwa karibu na baraza la Congress kujihakikishia ushindi wa mapema wa baraza hilo.

No comments:

Post a Comment