Wednesday, November 23, 2016

DELA NDIYE ALIYERUDIA WIMBO ADELE(HELLO) KWA LUGHA YA KISWAHILI

Dela
Dela
Adeline Maranga jina maarufu Dela jina hili linaweza likawa si geni kwako kwenye muziki hasa pale aliporudia kibao cha mkali wa mziki wa taratibu ADELE  kupitia wimbo wake wa Hello ulofanya vizuri sana duniani kote na kumuingizia mamillioni ya pesa na huku kuacha ngumzo kwa kurudiwa na mamia  ya watu kuimba kama yeye alivyo imba.kwa hapa kwetu Tanzania wimbo huo ulirudiwa na msaani Beka Ibrozama na kuimba vizuri sana na kusikilizwa na watanzania na wengine kutokujua hata uhalisi wa mwenye nyimbo.lakini kubwa lilistua afrika mashariki ni baada ya Dela kuimba kwa lugha ya kiswahili na bahati nzuri nyimbo aloimba Dela yenye maneno ya kiswahili ili weza kufanya vizuri hata nje pale ilipochezwa kwenye vituo vya radio vya wingereza na hata yeye mwenyewe Adele aliposikia alimpongeza sana Dela kwa alichokifanya .unaweza kuitazma video hiyo hapa https://youtu.be/3A_6ukgyNvQ

No comments:

Post a Comment