Tuesday, November 15, 2016

JOSEPH KABILA AMESEMA HATOWANIA MADARAKA YA URAIS TENA

 Joseph Kabila
Kumekuwa na vurugu za kisiasa katika Jamhuri ya Demokrasi ya Congo kupiti vyama vya upizani vya nchi hiyo kwa kutaka kumwondoa Joseph Kabila kuto wania madaraka tena uchanguzi ujao.kumekuwa na maandamano kama yello card ikiashilia kumtoa madaraka Joseph Kabila.Jana waziri wa nchi hiyo amejiuzuru na kuwapa wapinza cheo hicho.

Taharifa zilizotolewa na serikali ya nchi hiyo nikuwa Joseph Kabila ameruhutubia Bunge leo na amekubali kutoa wania tena madaraka ya nchi hiyo na ameomba kuwe na amani na amekubali sababu ya kutaka amani

Joseph Kabila amesema "Kwa wale ambao wanaingilia kati maisha yangu ya siasa kila siku, nina sema asante lakini wafahamu ya kwamba Jahmuri ya Kidemorisia ya Congo ni nchi inayoongozwa na katiba hatujakiuka katiba na tutaendelea kuiheshimu. Kwa mda huu kilicho muhimu ni kuangalia maisha ya wakongomani". 

No comments:

Post a Comment