![]() |
Joseph Kabila |
Taharifa zilizotolewa na serikali ya nchi hiyo nikuwa Joseph Kabila ameruhutubia Bunge leo na amekubali kutoa wania tena madaraka ya nchi hiyo na ameomba kuwe na amani na amekubali sababu ya kutaka amani
Joseph Kabila amesema "Kwa wale ambao wanaingilia kati maisha yangu ya siasa kila siku, nina sema asante lakini wafahamu ya kwamba Jahmuri ya Kidemorisia ya Congo ni nchi inayoongozwa na katiba hatujakiuka katiba na tutaendelea kuiheshimu. Kwa mda huu kilicho muhimu ni kuangalia maisha ya wakongomani".
No comments:
Post a Comment