Thursday, December 8, 2016

KIM KARDASHIAN KUDAI TARAKA KWA KANYE WEST

Kanye Wes ,Kim Kardashian na Watoto wao
Kama una fatilia maisha ya mastar hawa wa wili Kanye West na Mkewe Kim Kardashian kumekuwa na habari ambazo zinaonyesha wazi kuvunjika kwa ndoa ya yao .matatizo yameaza pale Kanye West kuungua malazi na kupelekea kulazwa Hospital na hatimaye kuruhusiwa kulejea katika familia yake .Taharifa z
Kanye Wes ,Kim Kardashian
iliweza kutolewa na doktar kuwa  ugonjwa wake una sababishwa na uchomvu ,msongo wa mawazo .

Kanye Wes ,Kim Kardashian
Kim ameibuka na haya na kushanga watu baada ya kudai taraka kwa mmewe kwa kusema tahafari doktar inaonyesha kuwa mmewe anatakiwa kukaa mbali na siraha ya aina yoyote ili kwa usalama kwa watu wengina hata kwa watoto wake .
Kanye Wes ,Kim Kardashian

Kim anakamilisha kesi ya madai ya talaka ambayo itampa haki zote za kulea watoto wao wiwili North mwenye miaka mitatu pamoja na Saint ambaye ametimiza mwaka mmoja Jumatatu ya wiki hii Dec, 5. 2016

No comments:

Post a Comment