Sunday, December 4, 2016

JIVU LA ALIYEKUWA RAIS WA CUBE FIDEL CASTROL LIMEZIKWA

FIDEL CASTRO
Jivu la aliyekuwa rais wa Cuba Fidel Castro limezikwa katika kiunga cha makaburi mjini Santiago, na hivyo kumaliza siku tisa za maombolezo ya kitaifa nchini Cuba.
Familia na wageni wachache walialikwa katika shughuli hiyo ya faragha, iliyofanywa karibu na makumbusho ya shujaa wa uhuru wa Cuba, Jose Marti.
MAJIVU YA FIDEL CASTRO YAKIWA YAMEBEBWA KWENYE GARI MAALUM

No comments:

Post a Comment